HISTORIA UNDANI SAFARI YA MAISHA YA AUGUSTINO LYATONGA MREMA

Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustino Lyatonga Mrema (77) amefariki dunia leo Jumapili, Agost 21, 2022, saa 12.15 asubuhi. MWENDO ameumaliza! Augustino Lyatonga Mrema hatunaye tena! Amefikwa na mauti asubuhi ya Agosti 21, 2022 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mrema, mwanasiasa nguli wa siasa za Tanzania, amefikwa na umauti akiwa na